Washukiwa wa wizi wa mafuta wakamatwa Nairobi
570 views · Published 22 July 2018 · 0:59 · Indexed 20 September 2026
Channel: KTN News Kenya · 2018 · News & Politics
Washukiwa 99 wa wizi wa mafuta wamekamatwa katike eneo la barabara ya lunga lunga hapa jijini nairobi katika operesheni ambayo imeendeshwa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na shirika la uhifadhi mazingira nchini nema pamoja na tume ya kudhibiti kawi E.R.C. Kadhalika maelfu ya lita za mafuta yalinaswa kisha matanki ya mafuta hayo kuharibiwa. Inaarifiwa kuwa washukiwa hao wanaiba mafuta hayo na kisha kuyachanganya na bidhaa zingine kabla ya kuwauzia wateja SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/ Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNews Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya For more great content go to http://www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps: http://std.co.ke/apps/#android KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
More from this channel
-
3:21
Asante ya Punda:Moses Sila ni mwanabaharia Mombasa,lakini analalamikia pato duni
-
9:05
Mikakati ya Henry Rotich:Azungumzia mikakati ya fedha nchini
-
0:51
EFG Power Projects:Projects to total 400-500 Mega Watts
-
4:53
Environmentalists fight for Arabuko Sokoke forest
-
15:09
Dawn of new system: Details of the new school curriculum (Part 1)
-
2:49
Detectives investigate a syndicate suspected to be involved in human trafficking in Mombasa County
-
5:20
Economy on steady trajectory: Week in review
-
15:39
Dira la Wiki full bulletin 2018/01/05-Rais Uhuru Kenyatta atangaza baraza la waziri