Sherehe ya kumuaga kifaru mweupe aliyekufa yafanyika Nanyuki

519 views · Published 31 March 2018 · 2:06 · Indexed 20 September 2026

Channel: KTN Entertainment · 2018 · News & Politics

Watch on YouTube

Hivi karibuni, wawindaji haramu wa wanyama pori huenda 
wakafungwa maisha endapo azimio la waziri wa utalii na 
wanyama pori Najib Balala litakubaliwa na kutekelezwa 
kikamilifu .Akizungumza kwenye sherehe ya kumkumbuka faru mweupe aliyekua amesalia, ambaye alifariki mapema mwezi huu katika hifadhi ya ol pejeta huko nanyuki, waziri balala alisema kwamba uhalifu wa wanyama pori umeanza kupanda na ni sharti hatua kabambe zichukuliwe dhidi ya wawindaji, haswa wanaolenga wanyama walio kwenye hatari ya kuangamia.



SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/user/KTNClassics 

Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNews  

Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya 

For more great content go to http://www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
http://std.co.ke/apps/#android 

KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

More from this channel