Gavana Ali Roba aahidi kukumbana na ufisadi Mandera baada ya kupokea ripoti

219 views · Published 17 January 2018 · 1:00 · Indexed 20 September 2026

Channel: KTN News Kenya · 2018 · News & Politics

Watch on YouTube

Kaunti ya Mandera imepokea ripoti ya jopokazi lililobuniwa kuchunguza madai ya ufisadi kwenye idara mbalimbali za usimamizi wa kaunti. Miongoni mwa yaliojitokeza kwenye ripoti hio ni kuwa kaunti hio ina wafanyikazi hewa takriban 100, ambao wanapokea mishahara kila mwezi. Tayari wafanyikazi 24 wamesimamishwa kazi huku kaunti ikiahidi kutekeleza mapendekezo ya ripoti hio huku wahusika wakichukuliwa hatua za kisheria.

SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNews  

Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya 

For more great content go to http://www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
http://std.co.ke/apps/#android 




KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

More from this channel