Soko la Mudavadi mjini Nyeri lateketea

429 views · Published 7 May 2018 · 2:17 · Indexed 20 September 2026

Channel: KTN News Kenya · 2018 · News & Politics

Watch on YouTube

Shughuli zilisimama katika soko la Mudavadi mjini Nyeri baada ya mkahawa mmoja katika soko hilo kushika moto. Kwa mujibu wa walioshuhudia mkasa huo, moto huo ulianzishwa na mlipuko wa mtungi wa gesi uliokuwa ukitumika na mmoja wa wafanyakazi.Wazima moto kutoka serikali ya kaunti ya Nyeri walifika mapema na kuudhibiti huo moto

SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNews  

Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya 

For more great content go to http://www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
http://std.co.ke/apps/#android 




KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

More from this channel