Wakili George Kithi aelezea kuhusu makamishina wa tume ya IEBC kujiuzulu

556 views · Published 16 April 2018 · 29:59 · Indexed 20 September 2026

Channel: KTN Entertainment · 2018 · News & Politics

Watch on YouTube

Tunafuangua na taarifa ya kujiuzulu kwa makamishina watatu katika tume ya uchaguzi na mipaka, IEBC. makamishina Consolata Nkatha Bucha Maina, Margaret Wanjala Mwachanya na Paul Kibiwott Kurgat wametangaza kujiuzulu kwao mapema asubuhi ya leo, wakitaja uhusiano mbaya wa mazingira ya kazi ndani ya tume hiyo.

SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/user/KTNClassics 

Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNews  

Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya 

For more great content go to http://www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
http://std.co.ke/apps/#android 

KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

More from this channel