Timu ya Tusker Fc yamzindua Robert Matano kama kocha wake mpya

53 views · Published 24 April 2018 · 9:36 · Indexed 20 September 2026

Channel: KTN Entertainment · 2018 · News & Politics

Watch on YouTube

Timu ya Tusker Fc imezindua Robert Matano kama kocha wake mpya baada ya kutimuliwa kwa aliyekuwa mkufunzi Sam Timbe siku ya Jumapili baada ya msururu wa matokeo duni.Matano atachukua usukani mara moja huku akinuia kuandikisha ushindi dhidi ya timu ya Wazito Fc siku ya Jumatano huku lengo lake kuu likiwa ni kuimarisha matokeo ya Tusker pamoja na kuiwezesha kumaliza katika nafasi bora ligini.


SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/user/KTNClassics 

Follow us on Twitter: https://twitter.com/KTNNews  

Like us on Facebook: https://www.facebook.com/KTNNewsKenya 

For more great content go to http://www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
http://std.co.ke/apps/#android 

KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

More from this channel