Karua kukata rufaa katika mahakama ya juu kuhusiana na kesi ya uchaguzi wa ugavana wa Kirinyaga
431 views · Published 20 December 2018 · 2:03 · Indexed 20 September 2026
Channel: NTV Kenya · 2018 · Sports
Kiongozi wa NARC Kenya, Martha Karua, atakata rufaa katika mahakama ya juu baada ya mahakama ya rufaa kutupilia mbali kesi yake ya kupinga kuchaguliwa kwa gavana wa Kirinyaga, Anne Waiguru, katika uchaguzi wa Agosti nane mwaka jana. Karua alienda katika mahakama ya rufaa baada ya kushindwa kesi katika mahakama kuu mnamo Juni mwaka huu.
More from this channel
-
1:02
Civil society wants IEBC to bar politicians with with integrity questions
-
3:38
KNUN officials fight as faction tries to call off nurses’ strike
-
5:00
Psychology of killings as stories of family members maiming loved ones puzzling
-
1:36
Jakoyo Midiwo tears into Jubilee's manifesto & their record
-
3:23
Postponing elections could lead to constitutional crisis
-
3:41
DPP Keriako Tobiko says political class intimidating constitutional bodies
-
3:06
Counties not issuing budget implementation reports: IBP
-
1:42
Weightlifting boss Pius Ochieng' resigns as NOCK vice chair