Zaidi ya wafanyabiashara 100 wakadiri hasara katika mkasa wa moto Gikomba
196 views · Published 7 November 2018 · 2:13 · Indexed 20 September 2026
Channel: NTV Kenya · 2018 · News & Politics
Zaidi ya wafanyibiashara 100 katika soko la Gikomba wamepata hasara ya mamilioni ya pesa baada ya bidhaa zao kuteketezwa na moto uliozuka usiku wa kuamkia leo katika eneo la Gorofani-Majengo sokoni Gikomba kaunti ya Nairobi. Licha ya hasara kubwa waliyopata wakaazi na wafanyibiashara wamewapongeza maafisa wa zimamoto kwa kufika katika eneo la mkasa punde moto huo ulipoanza na kuuzuia kuenea.
More from this channel
-
1:02
Civil society wants IEBC to bar politicians with with integrity questions
-
3:38
KNUN officials fight as faction tries to call off nurses’ strike
-
5:00
Psychology of killings as stories of family members maiming loved ones puzzling
-
1:36
Jakoyo Midiwo tears into Jubilee's manifesto & their record
-
3:23
Postponing elections could lead to constitutional crisis
-
3:41
DPP Keriako Tobiko says political class intimidating constitutional bodies
-
3:06
Counties not issuing budget implementation reports: IBP
-
1:42
Weightlifting boss Pius Ochieng' resigns as NOCK vice chair