Nchi za Afrika zimekubaliana kupigana vita dhidi ya Ufisadi

52 views · Published 1 February 2018 · 5:24 · Indexed 20 September 2026

Channel: KBC Channel 1 · 2018 · News & Politics

Watch on YouTube

Nchi za Afrika zimekubaliana kupigana vita dhidi ya Ufisadi kwa kufunga mianya yote, kuwaadhibu wahusika katika ufisadi na Kufungua taasisi maalum kwa ajili ya kupambana na ufisadi, zote hizi zikiwa ni sehemu ya uzoefu wa njia ambazo nchi za Afrika zimejifunza kutokana na mafanikio ya China katika vita dhidi ya Ufisadi.
Connect with KBC Online;
Visit our Website - http://www.kbc.co.ke/
Follow KBC on Twitter  - https://twitter.com/KBCChannel1
Find KBC on Facebook - https://www.facebook.com/kbcchannel1news/
Follow KBC on Instagram - https://www.instagram.com/kbcnews_/
#KBCNewsHour

More from this channel